To place an advert or if you have any relevant article you would want us to publish kindly contact us on this no. +255768191019/ +255716583496 or drop us an email @ mail.harusinzuri@gmail.com. Thanks alot for visiting this blog.

Wednesday, June 6, 2012

Wema Avishwa Pete na Mwinyi

4:34:00 AM


Wema Sepetu katika kurekodi movie yake mpya ya Superstar itakayozinduliwa mwezi wa sita mwaka huu, ameamua kutumia sehemu za maisha yake na kurudia kuzirekodi ili kuweza kuitumia katika story ndani movie yake hiyo.
Movie hiyo iliyoanza kurekodiwa machi mwaka huu itagusia maisha anayoishi Wema Sepetu na kuwaonyesha watu mazuri na mabaya ya kuwepo kwenye industry kwa jinsi yeye anavyoyaona kila siku ya maisha yake. Wema ambaye alirekodi scene ya kuvishwa pete na Mwinyi Goha ndani ya new Maisha Club aliamua kurudia kama ile ya Diamond akimvisha yeye pete na Mwinyi kutumia maneno yale yale ya Diamond ili mradi kunogesha movie yake mpya.
Wema amekanusha kwa watu kwamba Mwinyi ni mchumba wake na kuweka wazi ni kazi ya kisanaa zaidi iliyopelekea kwa wao kuvishana pete hiyo usiku wa jana.

Written by

We are Creative Blogger Theme Wavers which provides user friendly, effective and easy to use themes. Each support has free and providing HD support screen casting.

0 maoni:

Post a Comment

 

© 2013 Harusinzuri. All rights resevered. Designed by Templateism

Back To Top